Huyu
ni mtanzania mwenzetu ambaye amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuwasha
sehemu zake za siri.Leo ameamua kuziweka aibu pembeni na kulianika
tatizo lake akiamini kuwa jamii itamsaidia KIMAWAZO.
-------------------
HUU NI UJUMBE WAKE:
Mficha maradhi mauti humuumbua.Mdogo wangu wa kiume amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuwasha sehemu zake za siri tangu mwaka 2008.Ilifikia hatua korodani zake zikabadilika ngozi na kubabuka kama za mbwa na zikawa zinatoa harufu.
Hapo hakuwa na jinsi zaidi ya kunieleza.Nilichokifanya ni kumpeleka hospitalini.Walipima damu yake, mkojo, ngoma, kinyesi lakini hawakuona kitu.Walimpa dawa za kutumia kwa muda alafu aone kama zitamsaidia.
Zile dawa hazikutibu chochote.kwa kiasi fulan, zilisaidia kuikausha ngozi lakini baada ya muda hali ilirudi kama zamani.
Nimezunguka naye sana bila mafanikio.hata dawa za kienyeji katumia pia lakini hakuna kitu.
Jamani, kama kuna mtaalam yeyote tunaomba atusaidie kimawazo.Tufanyaje ili kulitibu tatizo lake?
Je, hii ni fangasi au ni gonjwa gani.
Asanteni.
Noni.
-------------------
HUU NI UJUMBE WAKE:
Mficha maradhi mauti humuumbua.Mdogo wangu wa kiume amekuwa akisumbuliwa na tatizo la kuwasha sehemu zake za siri tangu mwaka 2008.Ilifikia hatua korodani zake zikabadilika ngozi na kubabuka kama za mbwa na zikawa zinatoa harufu.
Hapo hakuwa na jinsi zaidi ya kunieleza.Nilichokifanya ni kumpeleka hospitalini.Walipima damu yake, mkojo, ngoma, kinyesi lakini hawakuona kitu.Walimpa dawa za kutumia kwa muda alafu aone kama zitamsaidia.
Zile dawa hazikutibu chochote.kwa kiasi fulan, zilisaidia kuikausha ngozi lakini baada ya muda hali ilirudi kama zamani.
Nimezunguka naye sana bila mafanikio.hata dawa za kienyeji katumia pia lakini hakuna kitu.
Jamani, kama kuna mtaalam yeyote tunaomba atusaidie kimawazo.Tufanyaje ili kulitibu tatizo lake?
Je, hii ni fangasi au ni gonjwa gani.
Asanteni.
Noni.
0 comments:
Post a Comment