Hivi ndivyo mabaki ya nyumba hiyo ambaye mmiliki
wake hakujulikana mara moja inavyo onekana
Haya Ndiyo Magari yaliyo teketea kwa moto,
ambapo eneo ambalo nyumba hiyo iliunguwa ilikuwa karibu na
Garage
Baadhi ya Mabaki katika Nyumba
hiyo
Baadhi ya Wananchi waliofika Alfajiri kushuhudia
Maafa hayo
0 comments:
Post a Comment