
Sasa wewe Sporah hebu jisikize Mwenyewe
tena ,na tena 'huwezi na huruhusiwi hata kama ungekuwa Dactari'Afya ya
Mtu au Ugonjwa wake unatakiwa kumuuliza yeye mwenyewe in a private'Or
labda kama mmekubaliana na mkaandikiana na to be sign that you are agree
with it' na siyo kama hivi kumuanika Live''kumwambia mtu yeye Afya yake
siyo nzuri na huku umeshikilia mauchafu ulosomba huko mitandaoni ya
Haters wake ambayo mengi ni ya Kimburulas na yenye kumtuhum kwamba
anatumia Madawa ya kulevya (Drugs)na pia amekonda hata akivaa nguo
hapendezi ,Ina maana hao hao wanaosema pia anatumia sembe 'ndo wamempa
au ? mara anadokoa, Kusema kweli ungetakiwa uchague maswali yaku muuliza
mengi yakiwa ni yako wewe Mwenyewe Sporah what your doing to T.I.D.
Here is just ' ,abuse '' I'm sorry but you are and make me feel bad
about you and All of those mamburulas'' Stop Abusing Him na kumuharibia
Biashara yake ''Kudadadeki Watanzania tena kama wewe Sporah nilidhani ni
Mtu ambae unatakia watu Mema kumbe ndo umeshakuwa wakuwatakia watu
Mabaya tena kuwaharibia Biashara zao''so you just want to see all
Watanzania not attend his Show kama wewe unavyofanya alafu ndo tukae
Vibarazani na kwenye Vistudio tukiwasubiria waje ndo tuwashambe na hasa
to Abuse them ? yani sikutaka kuambiwa nilitaka nione na kusikia
mwenyewe and I just did that''na ndo maana nikaamua kukujibu pale
nilipoweza '' kwani ninakazi zangu sina Muda huu wa Mamburula maswali ya
Kijinga 'upumbavu mtupu' Tupa kule and I hope Wasanii wengine
hutowafanyia hivi tena maana ndo will be the end of Sporah Show'' Mbuta
Nanga'' Jirekebishe Mono Njau''Ruwa Mangi''
Hivi ni kwanini ulikuwa una taka aku
hagi hagi ,akukumbatie huku umeketi chini ? how can you ask someone to
give you a hug huku wewe kama mpokea wageni wako umekaa chini ?
ungetakiwa kuamka ,kusimama then unamuuliza ask him for hug' au ndo
ulikuwa wataka kumshika shika ili uone kama kweli kakonda ? why were you
crying for His hug? yani mpaka nilitamani kuvunja my Laptop ''you were
so annoying and Abusing Him' and that made me so Upset and Angry ''I
don't want to watch the show anymore' you need kumuomba T.I.D Msamaha'' I
mean wewe mbona Nguo zako zingine huwa hazikupendezi na huwa ni kubwa
mwilini'so tuseme pia kukonda kwako ni Ugonjwa na hiyo ndo sababu au pia
wewe unatumia sembe? what you feel watu tukianza kuuliza mitandaoni
kukuhusu''and oh 'what happen with you and Jestina G' ulimchukulia Mme
wake ? ndo sababu mkavunja penzi lenu na mlikuwa mashosti wa mwiko na
ugali?'Yani Sporah don't even go there kuwauliza Haters wa Mtu
wakuandikie vitu vya ku muuliza unae mfanyia Interview kabisa. Kumbuka
hapa Duniani ukishakuwa na Kitu ambacho wengi hawanacho lazima utakuwa
na Haters tena kibao 'so chakufanya ni kutokuwapalilia'kama unavyofanya
wewe'' Anyway 'ni hayo tu from Flora Lyimo'Msema kweli wenu'mbuta nanga"
WATANZANIA MSOENDA KWENYE SHUGHULI ZAO''
Nikianza na wewe Sporah 'huendagi kwenye Shughuli zao hata Moja mimi
tangu nianze kukusikia na kukutane na wewe uso kwa uso kwenye your
studio sijawahi kukuona hata siku moja umehudhuria show zao 'Wasanii wa
Tanzania hapa UK 'na huku wao wakija kwenye studio yako unaanza
kuwauliza Maswali ya kimburulas'' Au hata ukijishughulisha na kuhudhuria
mambo yanayo wahusu Sisi Watanzania tuliopo Majuu UK 'Ningeomba siku
moja ufanya Live Television show ambayo itakuwa broadcast at exactly the
same time as you are interviewing Mtu' alafu uone kama kuna atakae kuja
utaniambia Flora Lyimo ' nimekuonea hapa au hapana nimekuambia Ukweli
wako'' Usione hawa Wenzetu waliokuwa fasta kukutumia maswali yao ya
umburulas ukadhania wana mapenzi mema na T.I.D au hata ambae utakae
mfanyia hiyo Interview '' Wasanii wanapata shida sana kupewa Pesa zao
kihalali hapo na hapo tena kabla ya show au ya safari zao 'na vile
vile Watanzania wenzao wakiwa ndo wanaogoma kwenda kwenye show zao kwa
sababu zao binausi kukosa pesa pia kunachangia. Kwani kuishi majuu kwa
Wengi ni hasara tupu ila wapo wapo tu 'anyway pia huwa wanambizana
wasiende'' yani hii yakwako japo itakuwa pia ni bure licha ya kulipisha
£10 pound pesa ndogo hivyo na inawashinda uone kama hiyo ya Live show
watakuja''You know how good we are kwa kuangushana..Right'' na hicho
ndicho tunashotakiwa kukipinga 'hasa kutokuwapa nafasi HATERS''Ila hapa
wewe Sporah unaanza kuwashirikisha na kukukufanya wewe mwenyewe
kuonekana Mburula''TUPENDANENI JAMANI AND YES YOU NEED TO APOLOGIZE''
Flora Lyimo Fashion Police "
About Syed Faizan Ali
Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.
0 comments:
Post a Comment