Thursday, 11 July 2013

HUYU NDIO MREMBO AMBAE GELLY WA RYMES AMESEMA ANAFAA KUISHI NAE


By on 03:50

Gelly wa Rhymes ni mmoja wa wabongo ambao wamewahi kumilikishwa namba nzuri kwenye chati za radio mbalimbali Tanzania na Kenya hasa kupitia single ya ‘Mama Ntilie’ ft Ray C.
July 10 2013 Gelly ameiweka hii siku kama kumbukumbu baada ya kulihutubia taifa la bongofleva kupitia hii video mpya inaitwa ‘lovely’
Please jisikie huru kuitazama na kuacha maoni yako hapo chini mtu wa nguvu.

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment