Saturday, 27 July 2013

MWALIMU NA MWANASIASA MKONGWE JOHN SHILATU AZIKWA KATIKA MAKABURI YA KINONDONI


By on 11:33


 Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu John Shilatu likiingizwa kwenye gari kutoka mochwari.
Jeneza lenye mwili wa Marehemu Shilatu likiwa mbele ya kadamnasa wakati wa Ibada 
 Jeneza lenye mwili wa Marehemu Shilatu likipelekwa eneo atakalozikiwa maeneo ya makaburi ya kinondoni jijini Dar es Salaam.
 Makaburini Kinondoni
 Familia ya wafiwa wakiwa mbele ya jeneza
Jeneza lenye mwili wa marehemu John Shilatu likiingizwa kaburini ... Hakika ni huzuni kubwa sana isiyoelezeaka
Jeneza likiwa ndani ya kaburi
Mjane wa Marehemu Mama Shilatu akiwa udongo kaburini kwa Mume wake
 Mtoto wa Kwanza wa Marehemu Shilatu, Seba akiweka udongo kwenye kaburi la Baba yake
 Mtoto wa mwisho wa Marehemu, Digna naye pia akiweka udongo kaburini
 Mjukuu wa pekee wa Marehemu John Shilatu aitwaye Jayden akishiriki zoezi la kuweka udongo kwenye kaburi la Babu yake
DAIMA TUKAKUKUMBUKA JOHN SHILATU
MWENYEZI MUNGU AZIDI KUKUANGAZIA MWANGA WA MILELE KWANI MAISHA YAKO HAPA DUNIANI ULIMTUMIKIA KWA NGUVU ZAKO ZOTE

.... PICHA ZAIDI ZITAKUJIA BAADAE .....

 

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment