Thursday, 11 July 2013

MWANAMKE AJIFUNGUA MTOTO ANAYE FANANA NA NYANI


By on 06:13

Mwanamke mmoja amejifungua mtoto wa ajabu anayefanana na Nyani jumatatu iliyopita katika hospitali ya Kargoko baada ya muda mrefu sana ya uchungu ambao haukuwa na kikomo.
Ripoti zinasema huyo mama anayetoka katika kijiji cha SabonIceh alizaa mtoto ambaye anafanana kabisa na nyani akiwa na macho ambazo si za kawaida pamoja na miguu.
Moja kati ya manesi waliomzalisha huyo mama amesema kuwa huyo mama alileletwa hospitalini saa 1 na nusu asubuhi na walimkimbiza Chumba cha kujifungulia mara tu baada ya kufika hapo.
Baada ya kujifungua waligungua kuwa yule mtoto hakuwa binadamu wa kawaida.
Huyo mtoto wa ajabu alizaliwa akiwa na kilo 4 na mama yake alipoteza damu nyingi sana.
Haya kweli ni maajabu za Dunia.

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment