Thursday, 25 July 2013

MZEE KAILASH SINGH NI BINADAMU ANAYESHIKILIA REKODI YA KUNUKA ZAIDI DUNIANI KWA KITENDO CHA KUTOOGA KWA MIAKA 37.


By on 05:23


Mr Singh.
  
Mr Kailash Singh picha ambayo ilipigwa mwaka 1984.
 
HAKIKA tunaweza kuyaita mafanikio ya ajabu kwa mzee huyu kutokana maamuzi yake.Labda tumite Mr Adui wa Maji ila jina lake kamili ni Mr Kailash Singh akiwa na ndiye anayeshikilia rekodi ya mtu anayenuka zaidi kutokana na kutokuoga kwa zaidi ya miaka 37 sasa.

Mr Singh, 65, hajaoga na hata kukata nywele zake zenye urefu wa futi 6 toka mwaka 1974, mda mfupi mara baada ya kut

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment