‘’Mkirejea tatizo la kiafya nililolipata nikiwa Central
Police baada ya kukamatwa; la kuumwa sana na mgongo/mkono na baadaye
nikiwa gerezani Segerea nilipelekwa Muhimbili Moi na baada ya vipimo
(M.R.I) wakabaini kuna ulazima wa kufanyiwa upasuaji. Tatizo hili
limeendelea na hata baada ya kutoka Segerea na nimekuwa nikiwaona
madaktari kwa ukaribu. Jana mchana,imelazimu kulazwa hospitali ya
Muhimbili ward ya Sewahaji NO.18,chumba No.024 kwa uchunguzi na matibabu
zaidi.
Kama ilivyo kawaida yetu; Tunaanza na Mungu,Tunaendelea na Mungu na kumaliza na Mungu.
Tuzidi kuombeana na yote tumkabidhi Mungu.
Nawapenda sana!’’
Ofisi ya Katibu Mkuu imetuma timu kutoka makao makuu muda mfupi
uliopita wakiongozwa na Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Katibu Mkuu Mzee
Victor Kimesera ambayo ilienda kumjulia hali.
Kipindi chote
alichoshikiliwa kwa makosa ya kubambikiza kimemletea athari kubwa sana
kiafya.Ni jambo la ajabu sana tunafanya siasa za kishetani kubambikizia
watu kesi bila kujali uhai wa mtu.
Tunaomba tuungane tena katika hili kama tulivyoungana katika kipindi chote cha kesi
Kama ilivyo kawaida yetu; Tunaanza na Mungu,Tunaendelea na Mungu na kumaliza na Mungu.
Tuzidi kuombeana na yote tumkabidhi Mungu.
Nawapenda sana!’’
Ofisi ya Katibu Mkuu imetuma timu kutoka makao makuu muda mfupi uliopita wakiongozwa na Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Katibu Mkuu Mzee Victor Kimesera ambayo ilienda kumjulia hali.
Kipindi chote alichoshikiliwa kwa makosa ya kubambikiza kimemletea athari kubwa sana kiafya.Ni jambo la ajabu sana tunafanya siasa za kishetani kubambikizia watu kesi bila kujali uhai wa mtu.
Tunaomba tuungane tena katika hili kama tulivyoungana katika kipindi chote cha kesi
0 comments:
Post a Comment