Tuesday, 9 July 2013

SWALI:MALAYA NI NANI? MWANAUME AU MWANAMKE?


By on 22:28


The title above is concerned!
Malaya ni nani?
Ni mwanaume au mwanamke?

Je, kila mtu anaweza kumwita mwanamke/mwanaume malaya?
Hata kama hawajawahi kukutana naye kimwili?

Kwa upande wangu huwa naona vigumu kumwita mwanamke malaya wakati sijawahi mgegeda...

Nini kipimo cha kuwa malaya?
kuna wadada wanapenda sana pesa tena kwa uwazi kabisa..

je, hawa ni malaya?

lastly..kuna tofauti gani kati ya majina haya hapa chini na malaya?
i. kahaba
ii. changudoa..

Hebu tujadiliane..
Ladies & Gentlemen..

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment