Monday, 22 July 2013

MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU YAMPA ONYO JOSEPH LUDOVICK


By on 23:53


Picture
Mtuhumiwa namba mbili Joseph Ludovick (kulia) wa kesi ya kula njama za kutaka kumteka na kumdhuru Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi, Denis Msacky, akitoka nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam jana baada ya kuachiwa kwa dhamana. Kushoto ni rafiki yake, Hamfrey Masawe. (Picha na Venance Nestory)
NA FLORA MWAKASALA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemwonya mshitakiwa mwenza wa Mkurugenzi wa Ulinzi wa Usalama wa Chadema, Wilfred Lwakatare, Ludovick Joseph, kutozungumza na vyombo vya habari wala mitandao ya kijamii. Hakimu Mkazi Aloyce Katemana, alitoa onyo hilo jana baada ya Wakili Nyaronyo Kicheere, kulalamikia kitendo cha mshitakiwa Joseph kuzungumza na waandishi wa habari na kuchapisha habari za kesi hiyo magazetini.

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment