Nilipokutana na
Boyfriend wangu miaka miwili iliyopita sasa kosa nililofanya ambalo
nalijutia ni kujifanya kwetu ni Matajiri huwa namdanganya vitu vingi
sana ikiwemo kuwa kuwa Baba angu na Mama angu wanaishi Mbezi Beach na
kwenye Nyumba ya Ghorofa , Ila ukweli wazazi wangu ni Masikini wa
Kutupwa wanaishi Bagamoyo Ndani ndani ...Sasa kijana huyu amekuwa
serious kwa sasa anataka kunioa na mimi ki ukweli kadri siku
zinavyokwenda nimezidi kumpenda sana,,Anataka nikamtambulishe Home ili
Aaanze Maandalizi ya Harusi....Sasa Sijui nifanyaje ..Mweeeeee
About Syed Faizan Ali
Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.
0 comments:
Post a Comment