Wednesday, 17 July 2013

HII NDIYO STATUS KWENYE FACEBOOK YA ZITO KABWE KWA MEYA WA JIJI LA ARUSHA


By on 04:09



'Meya' wa Jiji la Arusha Gaudence Lyimo anapaswa kufundishwa misingi ya demokrasia. Baada ya ushindi wa CHADEMA wa kata 4 katika uchaguzi mdogo Ni dhahiri kwamba wananchi wa Arusha wanataka kuongozwa na CHADEMA. Meya hachaguliwi Moja Kwa Moja bali Baraza la madiwani. Hadithi za theluthi mbili hazina mashiko kabisa. Bwana Kayombo jiuzulu upishe CHAMA kinachopendwa na chenye madiwani wengi kiunde Jiji. Amani ya Arusha ipo kwenye msingi huo.

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment