Thursday, 25 July 2013

RAIA WAVAMIA NA VIKOMBE KUNYWA MAZIWA BAADA YA GARI LA MAZIWA KUPATA AJALI!


By on 22:53

 Bila kujali usalama wa afya zao, wakazi wa jiji la Dar es salaam wakikinga maziwa kwenye kontena la kampuni ya maziwa ya Tanga Fresh baada ya kichwa cha kontena hilo 
kuchomoka na kuacha njia eneo la ubungo mataa  leo Julai 24, 2013.likitokea Mkoani Tanga hakuna aliyejeruhiwa kwenye ajali 
hiyo.




Kichwa chenye namba za usajili T 787 AFX kinachobeba kontena la maziwa kikiwa pembeni mwa barabara mara baada ya kuacha njia. Lori hilo lilitokea mkoaniTanga na tayari lilishafika Dares salaam kabla ya balaa kulisibu. Picha na Philemon Solomon wa Fullshangwe.

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment