Hodi hodi wana udakuz
Mie ni mdada
wa makamo naishi Dar es salaam .... shida yangu kubwa naombeni msaada
wa kujua maeneo gani ya mwili wa mwanaume yakiguswa au kufanyiwa
chochote yanampa raha muhusika kupitiliza....... Nia na madhumuni ya
haya yote ni maandalizi kabambe ya kumtuliza shemeji yenu
nyumbani....... nataka akitoka kazini afikirie nyumbani na si
kwingineko..... Pls majibu yenu ndio dawa yangu.
Mimi Sarah
0 comments:
Post a Comment