Saturday, 13 July 2013

NIMGUSE WAPI SHEMEJI YENU ILI ASISIMKE?


By on 01:13

Hodi hodi wana udakuz
Mie ni mdada  wa makamo naishi Dar es salaam .... shida yangu kubwa naombeni msaada wa kujua maeneo gani ya mwili wa mwanaume yakiguswa au kufanyiwa chochote yanampa raha muhusika  kupitiliza....... Nia na madhumuni ya haya yote ni maandalizi kabambe ya kumtuliza shemeji yenu nyumbani....... nataka akitoka kazini afikirie nyumbani na si kwingineko..... Pls  majibu yenu ndio dawa yangu.
Mimi Sarah

About Syed Faizan Ali

Faizan is a 17 year old young guy who is blessed with the art of Blogging,He love to Blog day in and day out,He is a Website Designer and a Certified Graphics Designer.

0 comments:

Post a Comment